iqna

IQNA

IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Sayyid Ali Khamenei ameionya Marekani dhidi ya kutumia lugha ya vitisho dhidi ya Iran.
Habari ID: 3480412    Tarehe ya kuchapishwa : 2025/03/22

Kiongozi Muadhamu
IQNA-Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu Ayatullah Seyyed Ali Khamenei amepuuzilia mbali madai kwamba Iran imefungiwa njia ya kufikia "vikosi vyake vya niaba" katika eneo, na kusisitiza kuwa Jamhuri ya Kiislamu haina wala haihitaji vikosi hivyo ili kufikia malengo yake
Habari ID: 3479935    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/12/22

Hija na Qur'ani
IQNA – Kiongozi wa Mapinduzi ya Kiislamu hivu karibuni amekutana na wajumbe wa msafara wa Qur’ani wa Hija wa Iran, akawausia kuwahimiza Mahujaji kutafakari aya za Qur’ani Tukufu.
Habari ID: 3478799    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/05/10

Taazia
IQNA-Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu ametoa ujumbe maalumu kufuatia kuuawa shahidi makumi ya wafanya ziara wa Shahid Qassem Soleimani na kusisitiza kuwa, wanaotenda jinai watambue kuwa wanamapambano wa njia ya Soleimani hawawezi kuhimili na kuvumilia jinai zao.
Habari ID: 3478142    Tarehe ya kuchapishwa : 2024/01/04

Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu
Kiongozi Muadhamu wa Mapinduzi ya Kiislamu amesisitiza kuhusu kuendelea uadui wa Marekani na taifa la Iran na kusema kuwa, 'Jamhuri ya Kiislamu ya Iran haitalegeza msimamo kuhusu misimamo yake ya kimsingi.'
Habari ID: 3470207    Tarehe ya kuchapishwa : 2016/03/20